Maelezo ya Huduma
Ukurasa huu unapatikana bure kwa Kiingereza. Kiswahili ni sehemu ya Premium.
English
PC

PC - Kuandikisha Fundi Dawa Sanifu

Premium

PC

Kuhusu Huduma Hii

Kuandikisha Fundi Dawa Sanifu ni huduma ya Baraza la Famasi Tanzania. Huduma hii hutolewa kwa Mhitimu wa Stashahada ya Famasi aliyefanya na kufaulu mtihani wa taaluma ili aweze kutoa huduma za dawa nchini kama Fundi Dawa Sanifu Gharama: TZS 110,000. Muda: takriban siku 30. Mahitaji makuu: Picha za pasipoti nne zenye ukubwa wa 2x2.5cm na kivuli cha rangi ya buluu (Blue background), Cheti cha ulinganifu kutoka Mamlaka za ithibati (NECTA au NACTVET) kwa wahitimu waliosoma elimu ya Sekondari au Stashahada ya Famasi nje ya Nchi, Cheti cha Chuo cha kuhitimu elimu ya Stashahada ya Famasi iliyothibitishwa kwa muhuri wa Wakili, Wasifu wa mwombaji.

Ufikiaji wa Huduma

Aina ya Huduma
Premium
Lipia Kufungua

Huduma Zinazohusiana